Recent content by humphrey_leslie

  1. humphrey_leslie

    Kuulizia maombi ya chuo

    Ningependa kuuliza je mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata division two..Je ninaweza kuapply chuo chochote Tanzania na kuanza kusoma kwa level ya diploma au haiwezekan..?
  2. humphrey_leslie

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Je mimi nimefanikiwa kupata division two mtihani wangu wa kidato cha nne.Je naweza kuja kusoma course gani kuanzia level ya diploma au haiwezekani
Back
Top Bottom