Mi ni miongoni mwa wanafunzi wa hapo mzumbe vilevile nimekosa hostel!nilikuwa nataka kujua vipi hakuna maeneo ya karibu ambayo mtu anaweza kupata chumba cha kupanga.kama kinapatikana tuwasiliane kupitia no 0764056006
Dah!leo nimefurahi kuweza kujiunga na great thinkers katika forum hii lakini kimtizamo wangu watu wangekuwa wanafanya posting ya vitu vya maana na si matusi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.