Recent content by huko kwenu vipi

  1. H

    GE2025 Cheyo aongoza mkutano mkuu wa UDP mgombea urais, mwenza kujulikana leo

    Au yule jamaa wa Uganda anayegombea Ubunge, Kama mlemavu fulani hivi
  2. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    Ila yeye ahame upate ladha ya Mtu mwingine bhana!
  3. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    Ila yeye ahame upate ladha ya Mtu mwingine bhana!
  4. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wakurugenzi wanabadilishwa,WAKUU wa Mikoa,WAKUU wa Wilaya,Mawaziri why not them??? Kwanza kusimamiwa na Mkuu huyo huyo miaka nenda Rudi kunachosha!
  5. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    Kabisa yaaani kwa Sababu kuwa Mkuu Shule hakuongezi chochote kwenye Mshahara!
  6. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    Yaaani hii inakera yaaan Mkuu unakaa zaidi ya Miaka 15 kuwa Mkuu wa Shule utafikiri yeye ndo ana hati miliki na hiyo Shule
  7. H

    Wakuu wa shule wabadilishwe vituo vyao vya kazi kila baada muda fulani

    Ndugu wanajamii forums habarini za Mchana? Nashauri/napendekeza kwa Mamlaka zinazohusika (TAMISEMI) kubadilisha WAKUU wa Shule za Serikali kila baada ya muda fulani ikiwezekana iwe kila baada ya miaka MIWILI hii itasaidia kuwasimamia Walimu wake vizuri na hatimaye kuinua Taaluma ya Shule. Mkuu...
  8. H

    DOKEZO Waziri Dkt. Dorothy Gwajima mfuatilie Mwl. Mkuu S/M Kimandafu wilayani Meru, anafanya ukatili kwa wanafunzi

    Unajua Mimi hapo ndo napochokaga yaaaan inakuwaje Mhe Rais,Wabunge na Madiwani wanachaguliwa kila baada ya Miaka 5 lakini watendaji wengine wanakaa kwenye vitu vyao kwa zaidi ya miaka 10 mpaka wanakuwa Sugu???? Why lakini, Mwl Mkuu,Mkuu wa Shule anapaswa kukaa si zaidi ya Miaka mitatu aje...
  9. H

    Boniface Jackob, jiandae kisaikolojia, trust ni kwa Mungu pekee, SI wanadamu

    Kwanini apumzike baada ya kushindwa kama kweli ana nia ya dhadi??? Halafu kitu ambacho watu hawaelewi Chadema ni Chama Cha Wachaga/Familia Bob MAkani na Mbowe wote walikuwa wanafanya kazi BOT Chini ya Mtei, Mtemi aliwatoa BOT kusimamia Chama Cha Familia halafu ninyi mnakurupuka TU from no...
  10. H

    Boniface Jackob, jiandae kisaikolojia, trust ni kwa Mungu pekee, SI wanadamu

    Hivi kweli Mbowe ni Mtu wa kukaa kimya na kushindwa kuunga mkono juhudi za Lissu na Heche?? Kwa jinsi ilivyo Chadema kwa Sasa nimeamini Nchi hii hakuna upinzani hata kwa dakika moja mbele! Watu wapo kwa ajili ya ulaji, Fighting spirit ya pamoja haupo!
  11. H

    Boniface Jackob, jiandae kisaikolojia, trust ni kwa Mungu pekee, SI wanadamu

    Hakika asijaribu kumsemasema Mbowe akidhani yupo nae!
  12. H

    Boniface Jackob, jiandae kisaikolojia, trust ni kwa Mungu pekee, SI wanadamu

    Kabisa asijaribuuuu kumtetea Mbowe akihisi yupo nae Mbowe muda wowote Chauma!
Back
Top Bottom