Recent content by HUGO CHAVVEZ

  1. H

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Hao ndiyo waumin wako sasa Waelimishe wajue unashangaa nini sasa
  2. H

    Marekani ni waislam?

    Ulichozungumz kinaenda sambamba na wakristo wa marekani hivyo hivyo. Wakristo wa marekani mfano jiji la newyork pamoja na kuwa yule jamaa ni muislam hawakuangalia dini yake wamemchagua na kuwa kiongozi wao bila kuangalia dini yake ya uislam wameangalia utendaji wake. Pili hawana chuki na...
  3. H

    Kama Mwigulu anadhani Uwaziri Mkuu na mgongo wa Samia vitambeba kuwa Rais ajaye basi amepotea sana

    Wakatoliki kwahiyo sasa mmeamua kumkataa mwenzenu kisa tuh anashirikiana na samia?? Kweli chuki zenu hazina kifani
  4. H

    Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa 'Balozi' na mtu mkubwa CCM 'atekwe', ukimya wa serikali na chama unatisha!

    Colonel wa NATO teh teh teh Na ukimtazama usoni sura imekunjamana kama mlezi wa gongo..teh teh teh Akawa anampiga mikwara CDF Mgunda eti... Watu vichaa sana
  5. H

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Haisaidii kuwaondolea maumivu ya moyo Wawe na uwezo mdogo au mkubwa still uko chini yao na huna uwezo wa kuwafanya chochote wala lolote zaidi ya kuwa keyboard warrior tuh
  6. H

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Serikali ni system Kama wanashiriki kwenye hilo basi hata wakatoliki wenzenu walioko serikalini wanahusika why uwape lawama samia na mwigulu Akili au matope hizo?
  7. H

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Ukitaka ujue jinsi walivyo wajinga wanaaacha kujibu hoja za waumini wao wanakimbilia kutupa lawama kwa serikali. Sasa kosa la serikali ni lipi
  8. H

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Sasa ugomvi wenu nyinyi kanisa katoliki na waumini wenu serikali inahusikaje? Kaeni chini mmalizane nao,yani serikali iache kuletea wananchi maendeleo ifanye mchezo wa kuwapanga waumini wagombane na kanisa?? Pambaneni na hali yenu.
  9. H

    Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa 'Balozi' na mtu mkubwa CCM 'atekwe', ukimya wa serikali na chama unatisha!

    Maandamano nendeni mkachukue darasa kwa wale wakatoliki jinsi gani ya kuandamana kwa amani. Wenzenu hawalitaki kanisa ila unaona kabisa wanaandamana kwa ustaarabu bila kuzuia shughuli za watu wengine
  10. H

    Kaburi la Halaiki eneo la Kondo sasa liko Google Map, Mauaji huwa hayafichiki, Kama unajua eneo fulani, Ingia google map chap

    Kwahiyo nyinyi chadema na tec mnashangilia kwa alichofanyiwa maduro mnaona ni saw ili hali dunia yote inapinga?
  11. H

    Kaburi la Halaiki eneo la Kondo sasa liko Google Map, Mauaji huwa hayafichiki, Kama unajua eneo fulani, Ingia google map chap

    ITAKUWA NI VIJANA WAO WALIOWATUMA KUFANYA ZILE FUJO WANAJUA THEY ARE MISSING NA NDIYO MAANA WANAKOMAA KULIA LIA WAPEWE MIILI WAKAIZIKE...WANAJUA UKWELI HAW..TUWAPE MUDA TUH WATASEMA KILA KITU
Back
Top Bottom