Recent content by hsydhhrkedn

  1. hsydhhrkedn

    Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

    Muarobaini wa Tatizo la Wizi serikalini ni Uchunguzi wa Kina wa Mali pamoja na Fedha zinazomilikiwa na WATUMISHI WA UMMA kulinganisha na Mishahara yao.
  2. hsydhhrkedn

    Utatuzi wa Changamoto Kupata PF3 wakati wa ajali

    Hoja ya kutotibu mtu kwa sababu ni jambazi au ameumia katika tukio la jinai au uhalifu ni UDHAIFU MKUBWA SANA WA KIFIKRA, hakuna sheria yoyote inayosema Jambazi akiumia aachwe afe. Ali anatakiwa kutibiwa ili akipona afikishwe kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma.
  3. hsydhhrkedn

    Nini tofauti ya muundo wa Jiji la Mwanza na Jiji la Dar?

    Perfect, ni kama ilivyo Tanga.
  4. hsydhhrkedn

    Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

    Likiwa jiji lazima iwepo mamlaka ya jiji, hapo ndo Rais hataki hayo matumizi yasiyo na lazima. Kwa Jiji kuwa Ilala maana yake watendaji wote wa Ilala watabaki kuwa wale wale kuanzia Mkurugenzi mpaka Meya. Tofauti ni kuwa sasa watakuwa sio manispaa tena bali Jiji. Ni jubadilisha Mihuri tu na...
  5. hsydhhrkedn

    Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

    Ipo kati katikati ya Mkoa wa Dar nia iko na maghorofa mengi....ni mawazo yangu
  6. hsydhhrkedn

    Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

    Kama nimekuelewa hivi, kwa sababu ukisema jiji la Dar es salaam ni Manispaa ya Ilala maana yake jina moja hapo litakufa automatically. Dar es salaam inabaki kama mkoa, Ilala jiji zilizobaki Manispal Council
  7. hsydhhrkedn

    CCM, elimu bure iko wapi?

    Umeombwa kuchangia dawati unasema michango mingi bora ungelipa ada. Haya tutajie na michango mingine uliyoambiwa na kiasi gani kwa kila item. Sio unakuja kudanganya watu hapa.
Back
Top Bottom