Yani USA ianguke ? Afu kitu ambacho ukijui Ni kuwa haya mataifa USA na Russia na China yanaushirikiano mno Ila Sisi huku mbwande ndio tunaona wanauogomvi ,Ni Sawa Sawa Kwa hapa Tanzania watu huwadhani mbowe na viongozi WA CCM wanaugomvi wakati
Ni kweli ila India now yupo far ahead jaribu...
Yani USA ianguke ? Afu kitu ambacho ukijui Ni kuwa haya mataifa USA na Russia na China yanaushirikiano mno Ila Sisi huku mbwande ndio tunaona wanauogomvi ,Ni Sawa Sawa Kwa hapa Tanzania watu huwadhani mbowe na viongozi WA CCM wanaugomvi wakati uhalisia Si kweli
Mkuu unayosema Ni Sawa ila Kwa upande mwingine vita inahitaji pesa ,vita inahitaji bajeti kubwa we unahisi ikatoea mgogoro Kati ya India na Iran unadhan Iran anaweza Ku manage?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.