Recent content by hot6

  1. H

    DOKEZO Haki itendeke kesi ya Mwalimu wa Shule ya Kingdom Heritage (Banana – Dar) kutuhumiwa kumbaka Mwanafunzi wa Darasa la Saba

    Hii habari mwisho wake imekuaje, maana nina watoto wanasoma hapo. Je upelelezi ulifanyika kubaini ukweli wa tuhuma hizo?
  2. H

    Simu ya Hot 6 na Siri ya Maumivu

    Kabisa! Najaribu kulizoe jina.
  3. H

    Simu ya Hot 6 na Siri ya Maumivu

    Katikati ya mwaka 2015, Juma alikuwa amehamia Singida kwa ajili ya kazi yake. Alimuacha mkewe Iringa alipokua akifanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya wazungu. Baada ya mwaka Moja kupitia juma aliamua kumchukua mkewe na kuishi nae mjini Singida. Baada ya miezi kadhaa, mkewe alipewa zawadi ya...
Back
Top Bottom