Ni kweli inakata sana inamfanya mtu anakuwa mnyonge lakini kila kitu nikujiamini sometimes maumbile makubwa nayo kuna baadhi wa wanawake yanawatesa mfano me kuna watu nikifanya nao mapenzi wanalalamika sijui nagusa vitu gani najiskia vibaya lakini ndo hivyo fresh nafurahi maisha yanenda shukuru...
Kiukweli inaumizaa ila mtu kuvimba na mkewe si ni haki yake sema watu tunapenda kuona watu wakiumia hamna kingne nikki hana tabia ya kujikweza kama watu tunavyo complain😢
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.