Kunguni hawasababishwi na uchafu. Hii ni kwa sababu hali uchafu au kupendelea kuishi pachafu.
Kunguni unaweza kumkuta hata katika 5 stars hotel. Ni kwamba mwanadamu anapolala huwa anatoa harufu fulani (pheromone) ambayo humvutia sana kunguni na harufu hiyo hutolewa na mwanadamu tu ndio maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.