Kwako mpendwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hongera kwa kazi nzuri unayoifanya! Binafsi naridhishwa na kasi uliyonayo ya kutuletea maendeleo. Nimefuraishwa pia na kutetea haki za wafungwa waliofungwa kiuonevu. Nakuomba uingilie kati kututetea wanyonge tunaosumbukia kufuatilia mafao...
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri lakini sina jinsi. Ni bahati mbaya sana sikujijengea utaratibu wa kusave nilipokuwa nikipata pesa na sasa during rainy season I have nothing! Unadhani naweza kupata mtaji kwa njia tofauti na mkopo?
Habari, poleni na majukumu ya siku nzima. Inawezekana ukawa suluhisho la tatizo langu la kupata mkopo. Maisha yamenipiga sana baada ya kuachishwa kazi na sasa ninakusudia kuanzisha biashara ili niweze kuanza kwa upya. Tafadhali nisaidie ni wapi ninaweza kupata mkopo wa haraka kwa masharti nafuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.