Recent content by Hon Mimi

  1. H

    Nahitaji eneo la kununua Tabata

    Kinahitajika kiwanja maeneo ya kinyerezi majumba sita au Tabata kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa kanisa ukubwa ni 25 mita kwa 25 mita njoo na ofa yako kiwanja kiwe karibu na bara bara mita 2 kutoka barabarani. Nicheki whatsapp 0789435341
  2. H

    Nauza iphone X

    Nisaidie niitoe hii wakuu Nauza Iphone X Bei 580k Gb 64 BH 100% NO FACE ID Call /whatsapp 0656391899 Location Dar
  3. H

    Nauza Iphone 6 Plus

    180k mwisho
  4. H

    Nauza Iphone 6 Plus

    180k tunafanya Biashara
  5. H

    Nauza Iphone 6 Plus

    inauzwa hii...[emoji116] Nisaidie nipate Mteja nipo. Dar Mbagala ya Chamazi Iphone 6 Plus Storage 64 Colour Gold ina minor crake isiyo na madhara Battery Health 100% Fingerless.[emoji419] Bei Laki Mbili tu( 200000/= ) Tupigie WhatsApp/Normal kwa 0656391899 Nafanya Derivery ndani ya Dar
  6. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Naweza kupata Link Yao ?
  7. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Hii hali ndo napitia sasa hivi Mama yuko kijijini anaamini mwanae mjini Mambo si mabaya sana hata ukimueleza uhalisia anaona ni siasa tu daaah
  8. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Kwenye taasisi yeyote ya kifedha niko tayari kufanya kazi sichagui Mkoa popote nafika Naomba waungwana mnisaidie, Mambo kwa ground ni Magumu na ninahitaji kusaidia familia NB: Kazi Yeyote halali nafanya Elimu yangu Diploma ya Sheria Nipo Dar es salaam Mawasiliano yangu 0656391899
  9. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Hongera kwa wale wote walionitafuta kuwapa Msaada baada ya Kuitwa kwenye Usahili wa self Microfinance. Naombeni kazi jamani kwa ground Mambo ni Magumu mno (Hope Mnaelewa Mazingira Yalivyo) Kazi hizi nina uzoefu nazo Loan officer au Credit officer taasisi yeyote ya kifedha nipo willing kufanya...
  10. H

    Interview Utumishi - Credit Officer II - Self Microfinance Fund

    Majukumu yako ni haya then mara nyingi wanatoa mikopo kwa vikundi na wafanyakazi wa serikali Evaluates loan applications and documentation by confirming credit worthiness. Improves loan applications and documentation by informing applicant of additional requirements. Rejects loans by...
  11. H

    Nimezidiwa na maisha, niokoeni Watanzania wenzangu

    Mawasiliano yako Mkuu ? Au naomba nicheki 0656391899
  12. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Cv ni nini ? Kaka tuanzie hapa
  13. H

    Nimesoma sheria, natafuta kazi katika nafasi hizi

    Loan Officer, Credit Officer or Head of Branch kwenye Microfinances tu or any legal work NB:NIKO NA UZOEFU NAZO Nimeambatanisha Wasifu Wangu Wako Mtiifu 0656391899, 0789435341 DAR ES SALAAM.
  14. H

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Hii ya kupiga chinj mzee
Back
Top Bottom