Recent content by hometz

  1. H

    Mkuu wa Wilaya awasweka rumande Maofisa Ardhi na Mipango Miji Kinondoni

    Hana lolote angejenga barabara za juu ili iwezekane kufika huko kwa dk 20 kutoka ofisini kwao Magomeni ndipo awaadhibu iwapo wameshindwa, nani hajui foleni za Dar umdhalilishe mtu kwa sababu za aina hiyo? Sifa zingine bana. Yaani Kwa vile ameona mwenzake amewafukuza madaktari na yeye ndio...
  2. H

    Msaada iPhone 6 hotspot

    Jaribu kuconnect kwa kutumia bluetooth badala ya wifi km itasumbua basi moja kati ya hizo device zako ina shida
  3. H

    TV4Sale BNL Electronics: Smart TVs, LED Tvs for sale!

    Brand gani? Unazo nyingi zenye specification tofauti au ni hiyo higo moja?
  4. H

    Ungependa nani awe Mwenyekiti wa PAC?

    ZZK inamfaa hiyo kamati na ndiye atakaeichukua
  5. H

    Mambo mawili yatakayoitokea CHADEMA baada ya 25 Oktoba

    Mkuu tumekuelewa lakini hiyo namba mbili hujaitolea ufafanuzi kwanini itokee hivyo.
  6. H

    Mfumo wa Mishahara Mwisho wa Mwezi Umepitwa na Wakati Serikali Ijipime!!

    Kwa mfumo wetu wa malipo hapa Tanzania ni ndoto za mchana kutekeleza jambo hilo, process za malipo hadi kukamilika sio jambo rahisi hata kidogo, labda kama tunazungumzia taasisi ndogo ndogo zenye ajira ya watu kati ya 10-100, tambua ya kwamba mchakato wa malipo ya watumishi wa serikali unaanzia...
Back
Top Bottom