Recent content by Home tutor Dar

  1. H

    KERO Precision Air ni muda gani au lini tutarudi Dar? Mmetuacha hotelini na hatujui hatma yetu!

    Huu ni uchochezi na ni watu ambao hawana Nia njema na nchi yetu ,Raisi amefungua anga zaidi ,Amani ni muhimu kuliko chochote ,Kazi na utu tunasonga mbele.
  2. H

    Tangazo la home tuition – Tanzania nzima 🇹🇿

    Unahitaji msaada wa masomo kwa mtoto wako au wewe binafsi? Sasa suluhisho lipo hapa! Tunatoa huduma ya Home Tuition kwa viwango vyote vya elimu nchini Tanzania. ✅ Tunafundisha mitaala yote ya Tanzania (NECTA) ✅ Masomo yote yanapatikana (Sayansi & Sanaa) ✅ Walimu wenye uzoefu na ufanisi mkubwa ✅...
  3. H

    Hotuba za Viongozi: Je, tunachukulia kwa uzito wa kutosha?

    Katika dunia ya leo, hotuba ya kiongozi si maneno tu—ni taswira ya taifa, dira ya wananchi, na wakati mwingine ni ujumbe wa kimataifa unaobeba heshima au aibu ya nchi. Ndiyo maana inapotokea hotuba yenye makosa ya wazi ya lugha, taarifa zisizo sahihi, au ujumbe usioeleweka, wananchi wengi...
  4. H

    Rais ni Binadamu sio Malaika, anaruhusiwa kukosea kwa kuteleza ulimi (a slip of a tongue). To err is human, nawaomba isiwe nongwa!

    Ni kweli kabisa Raisi anaweza kuteleza na haimaniishi ndio kwamba ana uwezo mdogo au wasaidizi wanampotosha ila ni human error hata kama mtu ndio haumpendi kwa sababu unazozijua wewe lakini usimtafutie ubaya Kila mahala.
  5. H

    Mungu awabariki watu wote wanaolitakia mema Taifa letu na kupambania Misingi ya haki ,amani pamoja na ukweli na kujali wasio nacho

    Kheri ya pasaka. Ndugu zangu tuendelee kuwaombea watu wote ambao wanalipambania Taifa letu liweze kuwa Taifa la usawa ,haki amani pamoja na Upendo mfano wa watu hawa Balozi Humphrey Polepole Mh Tundu lissu John heche Padre kitima na viongozi wote wa dini ya katoliki. Hawa ni baadhi lakini wapo...
  6. H

    Kubanangwa, kubagazwa na kutinganywa bila huruma maana yake nini?

    Habari? Leo nimetoa haya maneno ! Nikaamka usingizini fasta! Lakini sijaelewa maana yake .Naomba anayeweza kunisaidia tafsiri yake. Uzi tayari.
  7. H

    Tanzania Inaelekea wapi? Sauti ya Mwananchi mwenye maswali yasiyo na majibu

    Kuna wakati unafika mtu anachoka kuuliza na anaamua kuishi tu. Sio kwa sababu amepata majibu—bali kwa sababu majibu hayaji. Leo hii ukiwasikiliza vijana wengi wa Kitanzania, hasa kizazi cha sasa, unakutana na kauli moja ya kimya kimya: “tunaishi tu, ilimradi maisha yanaenda.” Lakini je, taifa...
  8. H

    Kuongezeka kwa madeni ya taifa Tanzania ni hatari kwa uchumi wa sasa na vizazi vijavyo kama hayatadhibitiwa ipasavyo

    1. Maana ya deni la taifa Deni la taifa ni fedha ambayo serikali hukopa kutoka: Ndani ya nchi (benki, mifuko ya hifadhi ya jamii) Nje ya nchi (Benki ya Dunia, IMF, nchi washirika) 👉 Lengo ni kugharamia: Miradi ya maendeleo Bajeti ya serikali 2. Kwa nini Tanzania inakopa? Serikali hukopa kwa...
  9. H

    Sababu ya Rais kupewa ripoti ya CAG kila mwaka ni muhimu sana kwa uwajibikaji na uendeshaji mzuri wa Serikali

    . Hizi ndizo sababu kuu: 1. Uwajibikaji wa fedha za umma Ripoti ya CAG inaonyesha jinsi fedha za serikali zilivyotumika. Rais anapewa ili ajue kama fedha zimetumika vizuri au kuna ubadhirifu. 2. Kugundua makosa na ufisadi CAG huchunguza matumizi mabaya ya fedha, wizi, au ukiukwaji wa sheria...
  10. H

    Muhimbili yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Udaktari Bingwa Bobezi wa mageuzi sekta ya Afya

    Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini. Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha...
  11. H

    Chanzo kufungiwa Coco Beach chatajwa, haijauzwa

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amesema Coco Beach haijauzwa, bali serikali inaboresha ili kulipa hadhi eneo hilo na kudhibiti shughuli zisizokubalika kisheria. "Vijana wengi waliopo pale coco beach hawana kazi hawana biashara wanazurura tu na wengine ni walevi wengine wanatumia...
  12. H

    ELITE HOME TUITION SERVICES: Mabingwa wa Tuition Majumbani, Tanzania Nzima

    Elimu Bora Nyumbani Kwako! Je, unahitaji mtoto wako afaulu vizuri zaidi shuleni? Sasa suluhisho lipo hapa! 👉 Tunatoa huduma za kufundisha nyumbani (Home Tuition) kwa ubora wa hali ya juu 👉 Walimu wenye uzoefu na weledi 👉 Mafundisho yanayoendana na kiwango cha mwanafunzi 📖 Masomo Tunayofundisha...
  13. H

    Umuhimu wa Kuwapa Vijana Elimu ya Matumizi Sahihi ya Mitandao ya Kijamii

    Katika dunia ya leo, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu kubwa ya maisha ya vijana. Vijana wengi wana simu janja na wanatumia mitandao kama vile **Facebook, WhatsApp, Instagram na TikTok. Hata hivyo, changamoto kubwa iliyopo ni kwamba vijana wengi hawana elimu ya matumizi sahihi ya mitandao...
  14. H

    Je, Tutafika Kweli? Tunapotazama Majadiliano ya Bunge

    Swali la kujiuliza ni hili: Je, kweli tutafikia malengo ya maendeleo ya taifa kama mijadala mingi katika Bunge inaishia kwenye masuala madogo kama ujenzi wa vyoo, madawati na majengo ya shule? Hili ni swali muhimu hasa tunapotazama malengo makubwa ya taifa kama yale yaliyowekwa kwenye Tanzania...
  15. H

    KERO Ujenzi wa Barabara hii ya Bukoba Manispaa ulitakiwa kukamilika Oktoba 2024, haujakamilika hadi Februari 2026

    Bukoba huku Kuna shida sana ,halmashauri ya bukoba ufuatiliaji hakuna Kuna Miradi Mingi inazorota sana
Back
Top Bottom