Ni wazo Zuri ambalo halitakubaliwa kamwe.. maana kuna wanufaika wakubwa wa udhaifu uliopo. Changamoto nyingine ni kuwa sio watu wote wana smart phone za kuscan QR code, japokuwa hii haiwezi kuwa kikwazo.
Huo usahihi unaangaliwa kwenye kitu gani? Wapigwe, wanyimwe haki zao za kisiasa, waminywe, na wengine kupotezwa, bado utegemee kuona usahihi upi? Hii nchi kiuhalisia upinzani haurusiwi, yaliyopo ni geresha tuu.
Nadhani Washiriki wanajigharamia wenyewe kwa haitakuwa gharama kubwa... Sema tuu kama kutakuwa na usumbufu wa watumiaji wengine wa barabara ndio itakiwa indirect cost...
Ukisikiliza hii clip utajua nini cha kutarajia kutoka kwa wenye mamlaka ya kuchunguza na kuchukua hatua...
https://youtu.be/zV1upUceDPM?si=xx4T7auTpQy017Fu
CCM mna akili za kifisadi sana..... sasa ulitaka watumie hela za chama kumnunulia mmkiti gari? Ndio unaona ingekuwa matumizi bora hayo???
Na kama ingefanyika hivyo mngekuwa wa kwanza kuruka hewani na lawama za ufisadi ndani ya CDM, viongozi watumia mamilioni kujinunulia magari.....
Maji yamekuwa ya shingo nini? Wako wapi waliokiwa wanashangilia kununua ndege bila mpango, na wale wa mikataba ya siri?
Nafikiri hawezi kutoa ushauri wa kitaalamu bila kuona mkataba na mwenendo wa kesi. Kama kweli utaalamu wa Lissu unahitajika wahusika wanajua jinsi ya kum.engage.
Kwa jinsi nionavyo mimi, ukishajiunga na Bima maana yake umetoa ridhaa haki kutumika kutibia wengine wenye uhitaji kwa wakati huu na wewe ukiwa na uhitaji utatumia za wengine. Ndio basic principal ya Bima ilivyo. Sasa hapo kusema kuwa haki ya mtu imetumiwa bila Ridhaa yake inatoka wapi? Kujiunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.