Recent content by Hildaedgar

  1. H

    Habari naomba ushauri au mwongozo kuhusu biashara ya Raba za mitumba za wakubwa na watoto bei ya Balo na wapi pakuzipata.

    Habari naomba ushauri au mwongozo jujutsu biashara ya Raba za mitumba za wakubwa na watoto bei ya Balo na wapi pakuzipata.
  2. H

    Msaada kuhusu Ufugaji wa Kuku Chotara

    Naombeni u shauri na maelekezo mi nataka kufuga kuku wa mayai ambao ni chotara na kuku wa nyama kipi cha kuzingatia??eneo ninalo na mtaji ninao ila co mkubwa saaana kama 400000 c ninaweza anza na nimekubali kua risktaker
Back
Top Bottom