Heshimuni walimu, asingekuwepo mwalimu usingejua kusoma na kuandika, bakizeni watoto wenu nyumbani muwafundishe, wewe ulijua kusoma na kuandika alikufundisha baba yako au mama yako? Acheni dharau, mlisaidiwa hadi kufunga zipu na kutengenezwa sketi zenu, na mafua hadi kifuani, angalia mfano wa...