Recent content by highlam

  1. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Nipatie details in box
  2. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Hakuna mwajiri anasaini pesa hiyo,alete details tufwatilie
  3. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Anipe data zote in box
  4. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Naomba jina la huyo mwalimu,na tsd namba yake anaepokea elfu 16,km serikali tufwatilie
  5. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Sorry na drive nakosea maneno
  6. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Usidanganye watu bhana, hakuna sekta ya government inayoruhusu mtu kupokea elfu 16000, mwajiri na utumishi anasaini asimia acha kuwadanganya watu, wewe si umeweka card yako nje?
  7. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Umeandika hadi muyangu,its ok,usijali rfk huu ni mtandao tu kuna maisha,baada ya maisha,uko na picha hadi upo bwawani rfk,usidhani wote wanchoandika mtandaoni ni kweli,ila uwe na amani tu
  8. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Ifike mahali mjitambue, na mtambue, Mwalimu ni mtu muhimu sana katika maisha yako
  9. highlam

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Heshimuni walimu, asingekuwepo mwalimu usingejua kusoma na kuandika, bakizeni watoto wenu nyumbani muwafundishe, wewe ulijua kusoma na kuandika alikufundisha baba yako au mama yako? Acheni dharau, mlisaidiwa hadi kufunga zipu na kutengenezwa sketi zenu, na mafua hadi kifuani, angalia mfano wa...
Back
Top Bottom