Recent content by hezron magoti

  1. H

    GE2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

    kama huyo jamaa angekua sio jambazi asingewakimbia polisi yani kiuhalisia huyo ni muhalifu halafu unaeleta taarifa hii hapa nawe ni Muhalifu Pia maana unasema polisi wamemkamata na kumpeleka kusiko julikana kwani polisi wakimkamata muhalifu wana mpeleka wapi tofauti na kituo cha polisi? acheni...
  2. H

    GE2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

    kama huyo jamaa angekua sio jambazi asingewakimbia polisi yani kiuhalisia huyo ni muhalifu halafu unaeleta taarifa hii hapa nawe ni Muhalifu Pia maana unasema polisi wamemkamata na kumpeleka kusiko julikana kwani polisi wakimkamata muhalifu wana mpeleka wapi tofauti na kituo cha polisi? acheni...
  3. H

    Magufuli anapomuenzi Nyerere kwa vitendo

    Bunge na Mahakama Ni vyombo Ambavyo viko Huru .uhuru wa watu umeimarikazaidi na ndio maana tundu lisu alipita dunia nzima akiiisema Tanzania Vibaya lakini alirudi nchini hakuna hatua aliochukuliwa na pia karuhusiwa kugombea na anafanya kampeni kama wagombea wengine japokua anatukana watu kewenye...
  4. H

    Magufuli anapomuenzi Nyerere kwa vitendo

    Hakika Magufuli Anahtaji Miaka Mingine Mitano Afanye Maajabu Zaidi ya haya ya leo.Watanzania wanaona anachokifanya Mzee Magufuli hawawezi kumuacha bila kumpa Kura Magufuli.
  5. H

    GE2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

    LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA! NIMEONA MATOBO 7 HOJA ZA LISSU! Kwanza nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la...
  6. H

    Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

    Na wewe ni kibaraka wa nani?
  7. H

    Ni kweli lengo la Maalim Seif Sharif Hamad kugombea urais Zanzibar mara zote mfululizo ana nia ya kuvunja Muungano?. Je, atafanikiwa ?

    Ni tamaa ya madaraka lakini pia kwa kauli zake anaonekana kabisa hana nia njema na muungano wetu na hataweza kufanikiwa
  8. H

    Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

    Ndugu yangu kama kusoma hujui hata picha huoni?
  9. H

    Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

    Kama Pemba imetapika kama inavyoonekana kwenye picha hapo basi Maalim Seif kashakaa kibla vizuri anasubiri kuchinjwa.
  10. H

    GE2020 Yaliyojiri mkutano wa kampeni za Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli akiwa Bukoba, Kagera

    Kagera imesimama kumsikiliza Rais wao mpendwa Dr.John Pombe Magufuli
  11. H

    Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

    Safari hii ni kuwapeleka mchaka mchaka tu Sherehe ya Makubwa yaliyotendeka Miaka Mitano (5) Uimara wa Muungano wetu Ukuajui wa Demokrasia, Ukuaji wa Kiuchumi, ushirikishwaji wa jamii katika maamuzi ya serikali, uzinduzi wa kampeni za mgombea urais ZANZIBAR . #CCM #JPM2020 #YajayoNiNeemaTupu...
Back
Top Bottom