Recent content by hezron kihiyo

  1. hezron kihiyo

    Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

    Weeeeeee nenda tu kwan umekatazwa mbwa wewe
  2. hezron kihiyo

    Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

    Me studio napofanya kazi ni tabata mwananchi na kighetto ni kinondon B sasa wewe utachagua wapi panakufaaa
  3. hezron kihiyo

    Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

    Me nipo dar kinondon sasa funzo litafanyika sehemu mbili artkingdom rec tabta au ki ghetto
  4. hezron kihiyo

    Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

    Wewe tu karibu ata guiter la live ukitaka njooo
  5. hezron kihiyo

    Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki

    Habari.... Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki maaarufu kama fl studio. [emoji1428] natoa mafunzo ya kuitumia kwa bei ya 40000-50000TSH kwa muda wa siku 10 Utakuwa umejua 1. Beat making in advanced 2. Mixing na mastering 3. Vocal processing (mixing and mastering) Note...
  6. hezron kihiyo

    MSAADA: Samsung Galaxy S4 Inapata Moto Fasta Mpaka Ina Stuck.

    Huna ujanja inabid ukabaliane nayo tu hio hali
  7. hezron kihiyo

    Hi

    Bios hardware umejaribu kuichek
  8. hezron kihiyo

    Hi

    Tatizo kati ya haya ; bios zipo out of date,harddisc imecheza,graphics card problem
  9. hezron kihiyo

    Ushauri: Simu aina ya Oppo F5

    Ni simu nzr ila tatzo ni moja kupata moto... Nilizikuta mbili huawei gr3 2017 na hio ila nikachukua gr3 simu kaliii cjaona charge inkaaa asubuhi mpka jioni, haipat moto pia ina muuundo kama iphone 6 na inasoftware ya apple ndan ila kube ni android 7, ram 3, internal 16, camera ndo usiguse...
Back
Top Bottom