Habari.... Kwa wale wanaohitaji kujifunza program ya kutengeza mziki maaarufu kama fl studio.
[emoji1428] natoa mafunzo ya kuitumia kwa bei ya 40000-50000TSH kwa muda wa siku 10 Utakuwa umejua
1. Beat making in advanced
2. Mixing na mastering
3. Vocal processing (mixing and mastering)
Note...
Ni simu nzr ila tatzo ni moja kupata moto... Nilizikuta mbili huawei gr3 2017 na hio ila nikachukua gr3 simu kaliii cjaona charge inkaaa asubuhi mpka jioni, haipat moto pia ina muuundo kama iphone 6 na inasoftware ya apple ndan ila kube ni android 7, ram 3, internal 16, camera ndo usiguse...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.