Kuna tuhuma nzito dhidi ya Kiongozi wa Wilaya kuhusu matumizi mabaya ya madaraka, ikiwemo kuwagawia baadhi ya wafanyakazi majukumu kwa misingi ya kutoa fedha, huku akiwaingiza ndugu na watu wake ambao si waajiriwa rasmi kufanya kazi za ofisi.
Inadaiwa kuwa watu hao humlipa fedha ili kuendelea...
Wafanyakazi wa TFS wanawanyanyasa sana wafanyakazi wa mikataba.
Kwenye malipo ya madokezo, unakuta wanawasainisha kuwa watalipwa laki moja na nusu, lakini ukienda kusaini unapewa Sh20,000/= tu. Halafu unasaini jina na saini, huku kwenye kiwango cha pesa na idadi ya siku za kufanya kazi wakijaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.