Habarini ndugu natumaini mu wazima!
Lengo la kuomba ushauri kuhusu biashara hizi ni kwa vile sina uzoefu nazo lakini nimetokea kuvutiwa nazo kutokana na hesabu ambazo nimekuwa nikizipiga.
Napo bodaboda ndio target kubwa hasa ningependa kupata ushauri zaidi juu ya biashara hizi kutoka kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.