Recent content by Herman Henerico

  1. Herman Henerico

    Kinana ampiga stop Mwigulu, amtaka asitishe ziara zake zote za Mikoani!

    Hivi Mwigulu ni Waziri wa Fedha au Naibu waiziri wa Fedha? Huwa nashangaa akizungumza wakati Waziri wake, Saada, yuko kimya!
  2. Herman Henerico

    Kafulila: CAG akabidhi Ripoti ya Uchunguzi wa ufisadi wa 200bn kabla hajaachia Ofisi

    Moja, Sasa kama hiyo haijatoka, na hii iliyoletwa hapa JF imetoka wapi? Chanzo chake ni kipi haswa! Pili, Nimeshindwa kuelewa uhusiano wa CAG kustaafu na ripoti kupelekwa bungeni bse CAG akikabidhi ofisi ni pamoja na kukabidhi nyaraka zote zilizokwisha na zinazopashwa kufanyiwa kazi ikiwemo...
  3. Herman Henerico

    Kafulila: CAG akabidhi Ripoti ya Uchunguzi wa ufisadi wa 200bn kabla hajaachia Ofisi

    Mh. Waziri Tibaijuka alikiri kupokea msaada huo kutoka VIP Engineering na sio kukiri propaganda zenu kuwa alishiriki kuchota pesa kutoka Tegeta-Escrow account. Acha uongo, semeni ukweli mbele za Mungu.
  4. Herman Henerico

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Taarifa: Prof Tibaijuka hana kashfa ya fedha za IPTL. Kama kawaida tuhuma hizo zinaundwa na kusambazwa na maadui wake kwenye mitandao ya kijamii kumchafua kwa malengo na hofu ya siasa za 2015. Prof amefafanua kwa uwazi katika gazeti la Raia Mwema kwamba alichopokea ni mchango wa shule ya...
  5. Herman Henerico

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Taarifa: Prof Tibaijuka hana kashfa ya fedha za IPTL. Kama kawaida tuhuma hizo zinaundwa na kusambazwa na maadui wake kwenye mitandao ya kijamii kumchafua kwa malengo na hofu ya siasa za 2015. Prof amefafanua kwa uwazi katika gazeti la Raia Mwema kwamba alichopokea ni mchango wa shule ya...
  6. Herman Henerico

    Mbio za Urais: Mawaziri wakimbizana na kila aina ya kauli za kuvutia

    Can you prove?huwez jua umeambiwa na mtu mwenye kisa naye kama wewe ulivo na kisa naye!
  7. Herman Henerico

    Makazi ya Kisasa: Tanzania kama Ulaya! Hongera JK, Prof. Tibaijuka, Mchechu, NHC! Wakubeza bezeni

    The Boss, ninakutaka utoe jibu. La sivyo, Moderator atusaidie kukuondoa kwenye janvi kwa mbegu mbaya ya ukabila unayojaribu kuipandikiza hapa JF
  8. Herman Henerico

    Makazi ya Kisasa: Tanzania kama Ulaya! Hongera JK, Prof. Tibaijuka, Mchechu, NHC! Wakubeza bezeni

    Kumbe tatizo sio Anna Tibaijuka, tatizo ni wahaya? Hebu twambie kabila gani wanafaa na kabila gani hawafai kushika dola ??
  9. Herman Henerico

    Makazi ya Kisasa: Tanzania kama Ulaya! Hongera JK, Prof. Tibaijuka, Mchechu, NHC! Wakubeza bezeni

    The Boss, tupe ushahidi wa tuhuma hizi au omba radhi kwa chuki na ukabila wa wewe mwenyewe. Kama hutaki kabila la mama Tibaijuka, tatizo ni lako si lake
  10. Herman Henerico

    Mbunge yupi kupoteza jimbo lake 2015?

    Kwani lazma wawe wabunge? na Je, umetumia vigezo gani kuwapata?
  11. Herman Henerico

    Heri ya zimbihile na masilingi kuliko anna tibaijuka wa sasa.

    Kwani mama Tibaijuka asipokuwa Mbunge hawezi ishi? Na je nani kakwambia kuwa mama Tibaijuka atarudi? Na je kwa nini uliwatoa hao Zimbihile na Masilingi na kumsimika mama Tibaijuka tena kwa bila kupingwa? Kama wewe ni mtu mzuri kwake na jibu na njia mbadala ya kuuepuka mnyauko, umemsaidiaje huyo...
  12. Herman Henerico

    Gazeti la Mwananchi Acheni kukurupuka: Kumradhi Prof Anna Tibaijuka

    Mimi naona Bwana Kimetah yuko Sahihi. Anasema walikurupuka pale walipochapisha habari kabla ya kufanya uchunguzi!
  13. Herman Henerico

    Nape ataja mawaziri mzigo ktk serikali, aomba wapigwe chini

    Try to apply the concept of Statistical range, then come back!
  14. Herman Henerico

    Nape ataja mawaziri mzigo ktk serikali, aomba wapigwe chini

    Aliyepewa mtaji wa sh 500 na sasa ana sh 800; na yule alopewa sh 100 akazungusha na sasa ana sh 600, nani bora zaidi? Tafakari!
  15. Herman Henerico

    Prof. Tibaijuka akiwa kata ya Bunju

    Picha ya kwanza, Mh. Prof Anna Tibaijuka anakabidhi cheki ya Shs. 800,000 kwa mwenyekiti wa umoja wa wazee wa kata ya Bunju aliowaahidi siku ya wazee duniani alipokuwa mgeni wao rasmi Picha ya pili, Prof. Tibaijuka akikabidhi kwa diwani wa Bunju Mh. Sharif Majisafi, vitabu 10 vya uthamini wa...
Back
Top Bottom