Recent content by HEMAtheFarmer

  1. H

    Msaada kuhusu mbegu za nyanya

    Nashukuru sana mkuu... bado dawa zinanichanya matumizi yake, mwanzo huwa ni mgumu ila kitaeleweka tu.
  2. H

    Msaada kuhusu mbegu za nyanya

    Correction! Baada ya siku 10 nilipiga Dudu All nikachanganya na Ebony M72 Ridomill nilipiga mara moja tu
  3. H

    Msaada kuhusu mbegu za nyanya

    Mimi ndio Kwanzaa nimeingia kwenye kilimo na nimelima hizo Assila F1 mpaka sasa zina siku 21 tangu nimehamisha shamban. .. Kwa nilichoona hawa cutworms walikula ila nilipiga Dudu All nikachanganya na Ridomill ajili ya ukungu, Baada ya siku 10 nikapiga tena Ridomill nikachanganya na Ebony M72...
Back
Top Bottom