Hivi kweli watanzania inawezekana kweli umeme ukatike nchi nzima kwa wakati mmoja? Jana tarehe 20 March umeme ulikatika nikajua ni Dar peke yake, mara nikapigiwa simu na rafiki yangu yuko Moro kuwa umeme umekatika, sijakaa sawa kaka yangu from Tanga akanipigia kuwa umeme kwao umekatika na yy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.