Huyu jamaa ni std 7 hajui hata maana ya BOQ,anajengea malimbukeni wa instagram kwa vitisho vingiiii na kuwabambikizia magharama yasiyo na msingi.huyu namfananisha na yule mwamba anayejiita “kiboko ya wachawi”
Barbershop ya kisasa ipo Kimara Temboni,
Kinyozi mwenye sifa zifuatavyo anahitajika:
1.Awe na uzoefu wa kunyoa mitindo mbalimbali
2.Awe msafi/mtanashati.
3.Awe na kauli nzuri kwa wateja.
Malipo ni makubaliano.(tuwasiliane kwa namba 0654990001)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.