Lisu kwa Golugwa.
'
1. Je baada ya maoni ya Jumuia za kimataifa juu za ubovu wa uchaguzi serikali ilifanyeje
Golugwa: Mama alihutubia akasema wasitupangie.
Tundu lisu; Je hizo lipoti zilimaanisha nini?
Golugwa ; mifumo yetu ya uchaguzi lazima ibadilike ili itende haki labla ha chaguzi nyingine...
Kila anachofanya na kusema anapangiwa na hawezi kufurukuta. Wanakuongoza kwa ushauri na maslahi yao na yako binafsi kama kiongozi. Ukibisha tu utakiona. Soma nyuma ya pazia
Kwanza tukubaliane Nchimbi sio chawa. Alichokisema alimaanisha. Msikilize vizuri Nchimbi.
"ningekuwa na uwezo wa kuwaambia bila watu kusikia basi ningesema Pambaneni mpate katiba Mpya".
akasisitiza. Tena kwa kumaanisha "RAISI ANATAKA SANA KATIBA MPYA".
Kwanini Raisi haipambanii...?
Kuna...
Kama kila Kiongozi anayetaka kutumia akili zake anafukuzwa au kutolewa kwenye mfumo kimya kimiya tusipoamka sasaivi basi Tumekwisha.
Ata Samia angesimamia 4R kwa ukweli Wangemuondoa. Naamini kuna genge Kusini mwa Africa limefanikiwa kuteka kabisa hizi nchi.
Haya Matajiri yasiyoisha kwenye...
1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto wake.
2. Kukaa kimya kuchaguliwa cha kusema na kufanya. Sasa wanampeleka wanavyotaka.
3. Kupambana na...
Mandela alishitakiwa kwa sheria na makosa halisi kwa mujibu wa katiba ya kibaguzi ya wakati huo.
1962 kosa la kuchochea mgomo wa wafanyakazi. Kesi ilichukua miezi 3 tu ikaisha akafungwa miaka 5.
Mwaka uliofata Serikali ya makaburu ilivamia makao ya ANC na kuchukua ushaidi wa kutosha kabisa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.