Recent content by Heche

  1. H

    JamiiForums Tanzania Haya ndio Maswali Muhimu ya Lissu kwa Mashaidi kuhusu kauli za Raisi Zitakazomlazimisha Samia aitwe mahakamani

    Lisu kwa Golugwa. ' 1. Je baada ya maoni ya Jumuia za kimataifa juu za ubovu wa uchaguzi serikali ilifanyeje Golugwa: Mama alihutubia akasema wasitupangie. Tundu lisu; Je hizo lipoti zilimaanisha nini? Golugwa ; mifumo yetu ya uchaguzi lazima ibadilike ili itende haki labla ha chaguzi nyingine...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Wana CCM mwaminini nchimbi; Samia na Familia yake ni kama wapo kizuizini. NI KWELI MOYONI KABISA SAMIA ANAITAKA SANA KATIBA MPYA.

    Kila anachofanya na kusema anapangiwa na hawezi kufurukuta. Wanakuongoza kwa ushauri na maslahi yao na yako binafsi kama kiongozi. Ukibisha tu utakiona. Soma nyuma ya pazia
  3. H

    JamiiForums Tanzania Wana CCM mwaminini nchimbi; Samia na Familia yake ni kama wapo kizuizini. NI KWELI MOYONI KABISA SAMIA ANAITAKA SANA KATIBA MPYA.

    Hakuna anachoongea wala kusema bila kupangiwa. Wanampangia kilakitu
  4. H

    JamiiForums Tanzania Wana CCM mwaminini nchimbi; Samia na Familia yake ni kama wapo kizuizini. NI KWELI MOYONI KABISA SAMIA ANAITAKA SANA KATIBA MPYA.

    Kwanza tukubaliane Nchimbi sio chawa. Alichokisema alimaanisha. Msikilize vizuri Nchimbi. "ningekuwa na uwezo wa kuwaambia bila watu kusikia basi ningesema Pambaneni mpate katiba Mpya". akasisitiza. Tena kwa kumaanisha "RAISI ANATAKA SANA KATIBA MPYA". Kwanini Raisi haipambanii...? Kuna...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Kuna kitu cha kufanya
  6. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Unachekesha. Kila anayekohoa anatolewa
  7. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Naamini barua kaandikiwa huyo na naamini ata hajaisoma. Na sahihi kawekewa
  8. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Ndio mtego ambao watawala katili wanautaka ili wajipe uhalali wa kupambana na uasi kuendesha nchi ata miaka 100
  9. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Hakuruhusiwa kuchukua fomu
  10. H

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Kama kila Kiongozi anayetaka kutumia akili zake anafukuzwa au kutolewa kwenye mfumo kimya kimiya tusipoamka sasaivi basi Tumekwisha. Ata Samia angesimamia 4R kwa ukweli Wangemuondoa. Naamini kuna genge Kusini mwa Africa limefanikiwa kuteka kabisa hizi nchi. Haya Matajiri yasiyoisha kwenye...
  11. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano wanayomaanisha CCM ni yale ya Mbowe na Samia

    Hatari kabisa
  12. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano wanayomaanisha CCM ni yale ya Mbowe na Samia

    1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto wake. 2. Kukaa kimya kuchaguliwa cha kusema na kufanya. Sasa wanampeleka wanavyotaka. 3. Kupambana na...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini kesi Mandela ilikuwa ya haki kuliko ya LISSU? ipofutwa leo Dunia itajua TANZANIA inavyofanya.

    Mandela alishitakiwa kwa sheria na makosa halisi kwa mujibu wa katiba ya kibaguzi ya wakati huo. 1962 kosa la kuchochea mgomo wa wafanyakazi. Kesi ilichukua miezi 3 tu ikaisha akafungwa miaka 5. Mwaka uliofata Serikali ya makaburu ilivamia makao ya ANC na kuchukua ushaidi wa kutosha kabisa wa...
Back
Top Bottom