Kila kukicha wanatuvamia na kutuua. Ili tusiubiri upendo, umoja na Mshikamano. Tuubiri visasi, Tufoke na Tutangaze mapambano bila Silaha.
Baada ya hapo wajipe uhalali wa kutufunga, kutunyonga ata kutuchinja.
Tubadili uelekeo. Maisha ya Mtume Muhamadi yalijaa msamaha, Upendo na Amani. Ndio...
Tumeruhusu kutekwa, kisha matamko. Matamko hayajapunguza watu kuuawa. Kama tutaendelea na vimatamko wanachama wetu wote wenye maono watakwisha. Tutaua manabii wetu wote.
Viongozi naona mko salama kiasi. Lkn wanachama chini yenu wanaishaa. Tukibadili tu mbinu mabadiliko ni ndani ya miezi mitatu...
Mnavyofunga akili dhidi ya mitazamo mipya na kuhisi hasira ndivyo viongozi wa Africa wanavyofikiria kutoka moyoni kabisa kuwapinga basi unatumiwa na mabeberu na ndio maana uua kila anayejaribu kuwakosoa au kushauri
Kwanza ninachokiona Kabisa mama Hajui Chochote kuhusu nchi. Nimefatilia kiundani sana unaona waliompinga ndani walikuwa sawa ila Wengi sasa wanamsapoti kwa kuyapenda maisha yao sababu waliompinga sasa hawapo.
Je, kunanini nyuma ya pazia.
Ata Ulaya matajili wachache wanafanya shinikizo la kila...
Bahati mbaya sasa ni kuwa Lissu na Chadema wachache sana ndio wanaweza kupigania utawala bora, haki, Ajira na kutoa dira ya kiuchumi ya Taifa.
CCM naamini hawakupanga kufanya mauaji. Ila naamini kuna wazungu wachache hasa matajiri. [CAPITALISITI] walishinikiza hayo. Baadae sasa Wanawashinikiza...
Kwanini CCM wamuogope Lissu Pekee na kumweka jela? Kuna ukweli wa kushangaza sana hapa!...
Kama Heche alikuwa na uwezo wa kuelekea mabadiliko ya kweli basi CCM wasingemuacha bure
SIamini mapungufu ya Watawala ni yao tu. Bali kukosekana watu makini wa kusukuma mabadiliko kwa vitendo sio maneno matupu.
Heche ni wa maneno matupu.
Hatoi uelekeo wa Taasisis au kuweka malengo ya Taifa. Huja na hoja Zake ila sio Maaamuzi ya pamoja na muelekeo wa chama.
1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu.
2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa zaidi yaa kuzuia kuchafuana.
3. Hajawahi pata kashkash za kipinzani.
4. Alikuwa sehemu ya Mpango wa...
CCM inauwezo sana wa kufanya propaganda.
Baada ya kumsimika Mbowe CHADEMA sasa wametuletea Heche.
Kwa kuongea tu ni kama helo. Kwa kipindi ambacho CHADEMA ilikuwa na nafasi ya kuunganisha wafanyakazi wa sekta ya umma na bimafsi kutetea maslahi na kuunganisha wafanyakazi.
Ccm wakampeleka Lissu...
Namtoa Lissu pekee kapitia Mengi labda kafungwa na hasira na wanashindwa kuja na ajenda zenye kufanya chama kibebe maono ya taifa.
Ukimya wa chadema kuelekea Mei mosi. Siku ya wafanyakazi. Naona jinsi akina heche wanavyotumika.
Mabadiliko yote duniani kuanzia ufaransa, Uingereza, marekani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.