Recent content by Heche

  1. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iunganishe watanzania wote bila kujali itikadi, Mateso ya Wakulima, wafanyakazi na Wafanyabiashara wote ata wa CCM ni ajenda yenye nguvu sana

    Kila kukicha wanatuvamia na kutuua. Ili tusiubiri upendo, umoja na Mshikamano. Tuubiri visasi, Tufoke na Tutangaze mapambano bila Silaha. Baada ya hapo wajipe uhalali wa kutufunga, kutunyonga ata kutuchinja. Tubadili uelekeo. Maisha ya Mtume Muhamadi yalijaa msamaha, Upendo na Amani. Ndio...
  2. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iimarishe mikakati ya siasa. Tunawapa wauaji sababu ndogo za kutumaliza. Matamko na press zimeshindwa ata kupunguza utekaji

    Tumeruhusu kutekwa, kisha matamko. Matamko hayajapunguza watu kuuawa. Kama tutaendelea na vimatamko wanachama wetu wote wenye maono watakwisha. Tutaua manabii wetu wote. Viongozi naona mko salama kiasi. Lkn wanachama chini yenu wanaishaa. Tukibadili tu mbinu mabadiliko ni ndani ya miezi mitatu...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Sisi CHADEMA tunapaswa kuweka njia ya Muafaka wa kitaifa wa kweli kwa kutangaza Upendo na Msamaha

    Mnavyofunga akili dhidi ya mitazamo mipya na kuhisi hasira ndivyo viongozi wa Africa wanavyofikiria kutoka moyoni kabisa kuwapinga basi unatumiwa na mabeberu na ndio maana uua kila anayejaribu kuwakosoa au kushauri
  4. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    MUda huongea baada ya uharibifu mkubwa sana
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Sisi CHADEMA tunapaswa kuweka njia ya Muafaka wa kitaifa wa kweli kwa kutangaza Upendo na Msamaha

    Ukiwa na hasira hutakiwi kufanya chochote bro! Pole siioni akili yako
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Sisi CHADEMA tunapaswa kuweka njia ya Muafaka wa kitaifa wa kweli kwa kutangaza Upendo na Msamaha

    Kwanza ninachokiona Kabisa mama Hajui Chochote kuhusu nchi. Nimefatilia kiundani sana unaona waliompinga ndani walikuwa sawa ila Wengi sasa wanamsapoti kwa kuyapenda maisha yao sababu waliompinga sasa hawapo. Je, kunanini nyuma ya pazia. Ata Ulaya matajili wachache wanafanya shinikizo la kila...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Tunatakiwa kuwa na Shinikizo kali sana kuhusu matukio ya Oktoba 29. Ila imewapa nafasi mafisadi kula kwa kutulia kabisa na hakuna wa kuwazuia

    Bahati mbaya sasa ni kuwa Lissu na Chadema wachache sana ndio wanaweza kupigania utawala bora, haki, Ajira na kutoa dira ya kiuchumi ya Taifa. CCM naamini hawakupanga kufanya mauaji. Ila naamini kuna wazungu wachache hasa matajiri. [CAPITALISITI] walishinikiza hayo. Baadae sasa Wanawashinikiza...
  8. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    Kwanini CCM wamuogope Lissu Pekee na kumweka jela? Kuna ukweli wa kushangaza sana hapa!... Kama Heche alikuwa na uwezo wa kuelekea mabadiliko ya kweli basi CCM wasingemuacha bure
  9. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    SIamini mapungufu ya Watawala ni yao tu. Bali kukosekana watu makini wa kusukuma mabadiliko kwa vitendo sio maneno matupu. Heche ni wa maneno matupu. Hatoi uelekeo wa Taasisis au kuweka malengo ya Taifa. Huja na hoja Zake ila sio Maaamuzi ya pamoja na muelekeo wa chama.
  10. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu. 2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa zaidi yaa kuzuia kuchafuana. 3. Hajawahi pata kashkash za kipinzani. 4. Alikuwa sehemu ya Mpango wa...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kuondoa kabisa mijadala ya Haki za wafanyakazi. MEI MOSI CCM wakaamua tu kuja na Lissu Mahakamani

    CCM inauwezo sana wa kufanya propaganda. Baada ya kumsimika Mbowe CHADEMA sasa wametuletea Heche. Kwa kuongea tu ni kama helo. Kwa kipindi ambacho CHADEMA ilikuwa na nafasi ya kuunganisha wafanyakazi wa sekta ya umma na bimafsi kutetea maslahi na kuunganisha wafanyakazi. Ccm wakampeleka Lissu...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Sioni Utaasisi wa CHADEMA kuelekea sikukuu za wafanyakazi, wafanyabiashara na hata wakulima. Ukiwaza kiundani Viongozi wake wengi wanatumika

    Lazima atokee wa kuwasemea kilakona. Ata waisraeli walikaa kimya utumwani misri na Musa ndie aliyeamua kuwakomboa
  13. H

    JamiiForums Tanzania Sioni Utaasisi wa CHADEMA kuelekea sikukuu za wafanyakazi, wafanyabiashara na hata wakulima. Ukiwaza kiundani Viongozi wake wengi wanatumika

    CCM imevifanya vyama vya wafanyakazi viwe hewa sasa ni nafasi kwa chadema kuchukua credit kwa kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi
  14. H

    JamiiForums Tanzania Sioni Utaasisi wa CHADEMA kuelekea sikukuu za wafanyakazi, wafanyabiashara na hata wakulima. Ukiwaza kiundani Viongozi wake wengi wanatumika

    Namtoa Lissu pekee kapitia Mengi labda kafungwa na hasira na wanashindwa kuja na ajenda zenye kufanya chama kibebe maono ya taifa. Ukimya wa chadema kuelekea Mei mosi. Siku ya wafanyakazi. Naona jinsi akina heche wanavyotumika. Mabadiliko yote duniani kuanzia ufaransa, Uingereza, marekani na...
Back
Top Bottom