Wagonjwa wa figo hawana msaada. Gharama ni kubwa sana dialysis kwa session moja ni Shs 180,000. Mgonjwa anatakiwa kufanyiwa angalau mara tatu kwa wiki.
Ikimaanisha Shs 540,000 kwa wiki. Wenye bima ya NHIF ya individuals kama Timiza haikubaliki. Dawa nyingi za kutibu figo hazikubaliki kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.