Pasipo na Shaka my wazima nyote...me mzima kabisa naendelea kurutubisha ujana..kuna mtu naona kanikumbuka humu
imenibidi niitafute paswed tena.... kitambo SNA siingii tena humu kuchangia but napitaga tu mara moja moja kuona watu wanasema nini kuhusu boss wangu na team yetu kwa ujumla ili tujue...
Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini Good news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania.
Mmiliki wa hit single ya ‘Mdogo Mdogo' Diamond Platnumz ameipiku video ya wakali wa Nigeria P Square...
Wakati tukikabiliwa na zoezi la kumpigia kura Diamond tuzo za Channel O na AFRIMA za Nigeria, Amekua nominated tena kwenye tuzo zingine za Nchini Humo kipengere cha best african Artist. Tutaendelea kuwajuza taarifa zaidi za Tuzo hizi,
ila kumpigia kura kwenye tuzo za channelo bonyeza link hii (...
Video ya wimbo wa Diamond (ntampata wapi) ishakamilika na kabla haijaanza kuoneshwa rasmi katika vituo vya nyumbani,tayari vituo vya nje vimeanza kuionyesha na kuitambilisha, jana ilichezwa Trace tv na leo imetambulishwa kwenye kituo cha mtv base,lakini pia imechezwa kwenye tv za Nigeria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.