Nilimwambia mdogo wangu ajifelishe ili tumpeleke chuo kingine, aliandika madudu sana lakini cha ajabu matokeo yanatoka ana GPA ya 4.2,, Acha uongo mkuu hapo UDOM hata ukiamua kufeli hauwezi.
Pole sana ndugu yangu, Inaonyesha kuna pesa hukuzipata na bado utazilipa tu bodi.. Hayo matatizo kwa UDOM ni kawaida sana na hakuna anayejali, sio Uongozi, walimu wala serikali ya wanafunzi.
Sasa unabisha nini na unakubali nini?? Mara nyingi uongozi wa Udom hawajali kabisa swala la pesa za wanafunzi, huwezi mpa mwanafunzi kilicho bora wakati ana njaa ndio sababu vyuo vingine hutilia mkazo sana swala la mikopo ya wanafunzi wao.
Mkuu chuo cha hovyo sana, kuna vyuo vidogo kama ATC, DIT na WDMI vinatoa elimu bora licha ya udogo wao.
Hivi ikitokea bodi wanasema hakuna majina yaliyopelekwa kwa ajili ya wanafunzi wa field hapo nani wa kulaumiwa??
Poleni sana wadogo zangu na kipindi hiki kigumu kwenu katika kufuatilia mustakabali wa elimu yenu ya chuo kikuu.
Ushauri wangu kwenu ni kwamba jitahidini kadri ya uwezo wenu kutafuta elimu bora na sio bora elimu kwani itakua ni msaada mkubwa baada ya wewe kumaliza chuo huku mtaani hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.