UDOM WAMETOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO 2024/2025
ANNOUNCEMENT FOR STUDENTS ADMITTED INTO DIFFERENT STUDY PROGRAMMES AT THE UNIVERSITY OF DODOMA WITH SINGLE ADMISSION FOR THE 2024/2025 ACADEMIC YEAR – FIRST-ROUND ADMISSION
The University of Dodoma (UDOM) is pleased...
Msaada
Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!
NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
Mambo wana JamiiForums,
Nilidisco Chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lakini mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mimi naenda home nionekane nimemaliza chuo wakija kuuliza ajira ionekane ajira ni ngumu sijapata.
Sasa huu...
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.
Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.
Cha...
ni taasisi ya serikali ambayo ni ya hovyo sana , nina mdgo angu amemaliza form 6 , nikamuhakikia cheti ili apate namba ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa. Nakumbuka ilikua mwezi wa 6 mwaka huu tarehe 1 ,mpaka leo ni tarehe23 mwezi wa 7 na hamna majibu yoyote ,kibaya zaidi ukiwapigia simu simu yao...
Hivi kuna mtu ashawah kwenda muhas kutoka diploma , mfano course ya nurse na kama alienda alienda na GPA ya ngap??
Embu waliofanikiwa kwenda walete mrejesho ili wawasaidie na wadogo zetu wasikate tamaa
Iko wazi chief nilianza kukimbiza 0 levl kuanzia form 2 mpaka nafika 4 nakimbiza na 1 mfululizo karib na mtihan wa taifa nikakumbwa na ttzo la kutokusikia kabisa na kuonaa sionii chiief huwez amin nimemaliza na 2 form 4 hali ya kua toka nipo form 2 sikuwah kupata 2 ni one za 8 na kuendelea then...
Wanaotoka diploma kwenda degree muhas wengi form 4 hawakupata matokeo mazuri mathe ,na physic
Leo niliamua kupitia waliokuwa selected muhas pale 2022/2023 nimekuta wengi waliotoka diploma kwenda degree matokeo yao ya form 4 wana had 3 wengine wana 2 ambazo mathe na physoce wamefeli vibaya mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.