Recent content by haulecarolus

  1. H

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    wana cdm, suala hapa si kumshambulia wassira bali kujipanga na kuona tunasonga mbele, kwa mzarau mwibw mguu huzuka tende, kumbukeni hata hao ccm pia walikuwa wanadharau hivi hivi walipotahadharishwa sasa wanakumbuka shuka asb kumekucha, tujihadhari ukicheka na nyani utaambulia mabua, nawaomba...
  2. H

    Kuhusu katiba mpya

    Ndugu zangu watanzania, nawaomba sana kuhusu suala hili la tume ya katiba tujaribu kuwa na uvumilivu wa kisiasa tukishaanza kupandikiza mambo ya udini hatari iliyo mbele yetu itakuwa kubwa sana, tume imeapishwa leo, watoa maoni ni sisi wananchi na waamuzi wa mwisho wa suala hili la katiba ni...
Back
Top Bottom