Simu ya infinix hot 10i iliyotumiwa miezi minne tangu kununuliwa kwake inasukumwa kwa Tsh 120,000/= (Ruksa kuzungumza)
Simu haina Crack hata kidogo. Tatizo lake ni sauti kuwa chini unaposikiliza muziki, lakini kwenye mazungumzo haina shida. Ni nzuri kupita maelezo, inatunza chaji
Battery: 6000...
Naomba kujitambulisha
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 22 kutokea mkoani Mwanza. Kwa sasa ninaishi Manzese jijini Dar es salaam. Elimu yangu ni kidato cha sita. Sina familia na wala sijawahi wazia kutokana na ugumu wa kimaisha nilionao pamoja na kukosa uelekeo wa maisha yangu
Niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.