Recent content by haters

  1. H

    Kikwete ameteleza kushinikiza gas kupelekwa Dar es Salaam

    wewe mpungufu wa mawazo unashindanda mpaka na financial magerzine mbalimbali duniani zinakomet kama wrong project hiyo cake inataka kuliwa na wachahe tu
  2. H

    Prof Muhongo asema Mtwara wamekuwa wakitumia umeme wa Kiihansi kwa muda mrefu. Ni kweli?

    KWA NINI WANANCHI WA KUSINI WANAPINGA GESI ISITOKE Kupinga gesi isitoke mtwara kwanza ieleweke,wanaopinga si wananchi wa mtwara pekee yao bali ni wananchi wote wa mikoa ya kusini kwa sababu zifuatazo 1. Mkataba mzima wa mradi huu, mpaka sasa si viongozi wa kusini tu inavyoonekana...
  3. H

    Prof Muhongo asema Mtwara wamekuwa wakitumia umeme wa Kiihansi kwa muda mrefu. Ni kweli?

    na wewe prof una percent katika huu mradi Popote duniani palipokuwa na miradi ya pipe ya ges kwanza wananchi lazima wapew elimu ya kutosha kabla mradi haujaanza,swala la likage ktk pipe ya gas ni kawaida,wanannchi wanaozungukwa na mradi kwanza lazima wajue kukiwa na likage wanapata halufu...
  4. H

    Ukweli wa gas Mtwara

    KWA NINI WANANCHI WA KUSINI WANAPINGA GESI ISITOKE Kupinga gesi isitoke mtwara kwanza ieleweke,wanaopinga si wananchi wa mtwara pekee yao bali ni wananchi wote wa mikoa ya kusini kwa sababu zifuatazo 1. Mkataba mzima wa mradi huu, mpaka sasa si viongozi wa kusini tu inavyoonekana hata...
Back
Top Bottom