Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
----- huu kama la Songas linatosha mbona tuna mgao wa umeme?
Mgao wa umeme unatokana na sababu nyingi sana, sio uhaba wa gesi tu. Kunaweza kuwa na uzalishaji wa kutosha (kama ilivyo sasa)lakini miundombinu ya isafirishaji na ugavi wa umeme isiwe ya uhakika. Ndio sababu kubwa ya mgao unaoendelea sana. Gridi imezidiwa, uzalishaji umeongezeka lakini gridi haiwezi kuhimili ongezeko hilo. Ukilazimisha kuigniza umeme zaidi basi gridi nzima inazimia.
Sijalazimisha, nimeshauri. Kuna nadharia nyingi sana za kichumi, kisayansi na kijamii za kuamua kiwanda kiwe wapi. Nadhani tunahitaji thread ya kujitegemea kujadili hilo!huwezi kulazimisha viwanda viwe wapi zaidi ya soko kuamua...