kweli zito kafunguka, inaelekea kwamba anajua mambo mengi kuhusu politics, hatahivyo inasemekana kwamba uongozi unatoka katika moyo wa mtu na kama mtu atakua hanamoyo wakusaidia watu kutoka moyoni hata awe wa chama gani hakunajipya, so nakubaliana na mheshimiwa zito kabwe.
ebwana na mpongeza zito sana kwa uamuziwake, kwani ametenda makubwa sana ktk politics tanzania, ngoja awaache wenyeuchu na madaraka waendelee kuipeleka nchi kubaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.