Mimi huwa nashangaa sana na hawa jamaa waliojivua gamba, wao hawajazoea siasa, wanataka baada ya uchaguzi watu wasifanye siasa, halafu uchaguzi mwingine wanasema vyma vya upinzani ni vyama vya msimu. kuzuia maandamano, sio suluhisho wao wanatakiwa wathamini watanzania na wasiwafanye watanzia wajinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.