Hili si la kuchekea hata kidogo. Ni tatizo kubwa kubwa sana.Kutengwa na ndugu zako halafu useme nina kwangu bwana ni ivivu wa kufikiri zaidi. Kupanga ni kuchagua.
Mimi siamini kama YM anaweza akagawa haki kati yao nasi kwani inajionyesha wazi mahusiano kati ya PK na YM wanakubaliana zaidi ya YM na JK. Kumekuwa na kauli za kejeli toka kwa YM juu ya uongozi wa Tz; tukumbuke pia political and economic interest za PK na YM zinafanana sana. JK angemtumia Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.