Recent content by Haroonricher

  1. Haroonricher

    GE2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

    Nilichokiangalia kwa Watanzania tulio wengi bado hatujawa serious sana na mambo yetu, lakini pia nimegundua kwamba waTanzania sisi sote hatujui tunataka nini na tunaelekea wapi. Sikuwahi fikiria kama watanzania wenye akili timamu na wasomi kama wangekuja kuonyesha support ya kumpa ungozi...
  2. Haroonricher

    GE2020 NEC yafafanua Timu za Kampeni baada ya Tundu Lissu kuhoji ushiriki wa Kassim Majaliwa katika kuzunguka nchi nzima

    Ukiangalia vifungu vyote vilivyo ainishwa hapo havijajibu tuhuma...Swali ni kwanini Waziri mkuu afanye kampeni
  3. Haroonricher

    GE2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

    Wapo sahihi sana mana huwezi chukua habari ambazo hutozifanyia kazi.. na ukizirusha unazibadilishia ukweli
  4. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Mkuu Mkuu moja ya miradi yangu ni kufuga kuku hivyo kuwekeza kwa Mr. Kuku hakunifanyi nikaendelea kujitanua kiuzoefu na kukuza soko. Mr Kuku huenda akawa temporary but maisha yanatakiwa kuendelea..Nadhan kwa mm kutanua mradi wangu wa kuku ni sahihi zaidi. Ushauri wako ni mzuri nitafuatilia...
  5. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Mkuu nashukuru kwa wazo zuri..Suala la mtu kunambia nimfate PM siyo rahisi naelewa na ndo mana nikaleta mada hapa hadharani..Shukrani sana mkuu kwa mawazo nitayafanyia kazi
  6. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Nimekupata uzuri mkuu.. Aksante kwa mchango
  7. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Hii ya kununua biashara inayofanya vizuri ni wazo mpya kabisa kwang mkuu naomba ufafanuzi kidogo
  8. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Hii kanda ya ziwa inasifika sana kwa biashara za nafaka na sijawahi fika huko..nimetenga mda wa kufanya research ya mikoa..hivyo nitafika kuona hali ipoje lakin hili wazo la biashara ya kuuza nafaka ni wazo ambalo skuwa nalo.. Lakini kupitia wadau wangu wa nguvu humu ndani nimeanza kuona ukuu...
  9. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Mkuu hongera sana kwanza kwa hizo hatua ulizozichukua kwani ni moja ya hatua nzuri sana... Kwakuwa umenipa kama wazo itabidi nikae kulifanyia kazi hili ili nione kama linawezekana...Mimi ni miongoni mwa wale wanaoamini Kuwa Ajira ni mtaji..hivyo imenisaidia kupata mtaji basi nikaona nikafie huko...
  10. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Kwanza nikushukuri sana kwa kwa kunipa uzi wenye kunipanua mawazo zaidi..Naomba nikaupitie huo uzi then nitarudi kwako.... Kuhusu watoto wazuri na smart kaka siyo Jokes,, aiseee kwa biashara zinazohitaji issue ya marketing hao ni Muhimu hivyo pia umetoa mbinu mbadala ya ku catch minds za wateja..
  11. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Wazo zuri sana...Lakin mkuu lengo ni kufikia uchumi wa kati au juu kabisa kwani kubaki kazini siyo suluhisho la umaskini wangu. Nilitaman sana nitumie wazo kama lako lakin najua unaelewa watumishi wa umma vile huwa wanapata vikwazo vingi pale wanapokuwa wakijaribu kujikwamua. Kiukweli hata...
  12. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Shuke Shukran sana kwa ushauri..kwakuwa sina dhamba kwa sasa nafikiri nafaka inawezakaa poa
  13. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    De Definitely Yes mkuu
  14. Haroonricher

    Mawazo na mbinu za biashara

    Nimekuelewa vizuri mkuu japo huwa wana vigezo vya hiyo likizo, Ndo mana kwenye Mada yangu nimesema kuna vikwazo na kero zinazofanya niweze kujitegemea mwenyew hivyo kuna shida kidogo
Back
Top Bottom