Recent content by Harooney

  1. H

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    Nami Nichek Namba Ni S1036/0045/2011
  2. H

    Msaada: Bodi ya mikopo (HESLB)

    Naomba mnisaidieni kwa hili,vyuo vimefunguliwa na wengine washaripot na wanasema mpaka ulipe angalau nusu ya karo na fees nyingne,sasa mimi ntalipaje karo na cjajua kama bodi ya mikopo kama italipa karo yote?.na hao bodi wanatoa lini majina ? na tukienda huko chuo 2tatumia nn kama ha2jaona...
  3. H

    Msaada diploma ya nursing

    Jaman napenda kuwaomba kwa yeyote anaejua chuo kizur cha afya ngaz ya diploma ambacho bado kinapokea wanafunz wakati huu,na kwa ada nafuu,anijuze coz nataka kwenda kusoma mwaka huu baada ya tcu kuniacha,mm ni 4m6
  4. H

    Msaada jamani please mwenzenu nisaidien wana jf

    sasa kama mm wa CBG, cjui itakuwaje, vp mfano nikia apply saiv kupitia nacte vp ntaenda kusoma mwaka huu?
  5. H

    Msaada jamani please mwenzenu nisaidien wana jf

    hyo KAM iko wap kaka na nikiapply ntaenda mwez wa ngap kusoma?
  6. H

    Msaada jamani please mwenzenu nisaidien wana jf

    Jaman mm nimemaliza kidato cha 6,na nikaapply then tcu,wakaniambia niapply second round,lakn course zilizo ckuzitaka na mm nataka kuchukua mambo ya afya,na nimesoma CBG na point 12, baada ya hapo ckuapply,najua ntakosa nafas.sasa mnisaidie ntapawapi chuo hata nikasome diploma ya nesing au chuo...
  7. H

    Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

    Nami Niangalizie Jina Isaya H Mwita, Koz Ni Land Management
  8. H

    Vyuo kadhaa kutoa majina ya waliodahiliwa muda wowote

    Jaman Naomba Kuuliza Je, Ardhi Wameshatoa Admission?
  9. H

    TCU selections are OUT!!

    Selection bado,coz huyo jamaa hafunguk vzur
  10. H

    NACTE waitwika zigo TCU

    Yes,tell us when they will place out?
  11. H

    Polisi mkoa wa Mara matatani

    Achawaandamane 2mechoka!
  12. H

    Applicants wote mnaosubiri admission soma hapa

    Kwa wote mnaosubr admission mnatakiwa kuwa wavumilivu kwa sababu hatuna jinsi ndugu zangu kwani tushadanganywa kama watoto,afu kwa wale wanaoleta hofu na huku hawaja ona kitu chochote wakome kwanzia sasa,ebu post kitu ambacho kitawapa faraja wenzio na sio wasiwasi,ebu endesheni jukwaa kistaarabu...
Back
Top Bottom