Naomba mnisaidieni kwa hili,vyuo vimefunguliwa na wengine washaripot na wanasema mpaka ulipe angalau nusu ya karo na fees nyingne,sasa mimi ntalipaje karo na cjajua kama bodi ya mikopo kama italipa karo yote?.na hao bodi wanatoa lini majina ? na tukienda huko chuo 2tatumia nn kama ha2jaona...
Jaman napenda kuwaomba kwa yeyote anaejua chuo kizur cha afya ngaz ya diploma ambacho bado kinapokea wanafunz wakati huu,na kwa ada nafuu,anijuze coz nataka kwenda kusoma mwaka huu baada ya tcu kuniacha,mm ni 4m6
Jaman mm nimemaliza kidato cha 6,na nikaapply then tcu,wakaniambia niapply second round,lakn course zilizo ckuzitaka na mm nataka kuchukua mambo ya afya,na nimesoma CBG na point 12, baada ya hapo ckuapply,najua ntakosa nafas.sasa mnisaidie ntapawapi chuo hata nikasome diploma ya nesing au chuo...
Kwa wote mnaosubr admission mnatakiwa kuwa wavumilivu kwa sababu hatuna jinsi ndugu zangu kwani tushadanganywa kama watoto,afu kwa wale wanaoleta hofu na huku hawaja ona kitu chochote wakome kwanzia sasa,ebu post kitu ambacho kitawapa faraja wenzio na sio wasiwasi,ebu endesheni jukwaa kistaarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.