Recent content by harnsnass

  1. harnsnass

    Comparing: Lowassa vs Pinda

    lowasa kichwaaa balaaa!!!kwanza anajiamini halaf anajua anachokifanya na anakubaliana na hali halisi ispokua anajilimbikizia mali sana hapo kwenye ufisadi tuu ndio kamshinda pindaa:mad:
  2. harnsnass

    NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

    hakuna anaejua ukweli juu ya hili zaidi ya hao waliolifanya,na jeshi la polisi hawawezi kuibua ukweli juu ya hili maana na wao ni binaadam na wanakosew so cha msingi ni kutafuta njia rahisi ya kuvumbua ukweli maana hata mimi siliamini hili jeshi la polisi
Back
Top Bottom