Recent content by harieth kiliaki

  1. H

    Haki za kidigitali ni haki za Kibinadamu

    1.Haki za kidigitali ni haki za kibinadamu. 1.1. Haki ya mtandao Kila mtanzania ana haki ya mtandao kupata mtandao kwa gharama nafuu. Kuongezeka kwa gharama za data na ukosefu mzuri wa mtandao umekuwa changamoto katika nyanja mbalimbali. Kwani haki ya kimtandao wananchi wanashindwa kuitumia...
  2. H

    SoC02 Sijawahi kata tamaa katika maisha ya utafutaji

    Sijawahi kata tamaa katika maisha ya utafutaji. Habari zenu wana jukwa hili. Natumaini mnaendelea vizuri na Pole sana kwa wale ambao wanajisikia vibaya kiafya. Jina la naitwa Neema Lusekelo.Ni mkazi wa jijini Dar es salaam. Nilizaliwa katika mkoa wa Arusha wilaya ya Monduli kata ya kosovo...
  3. H

    Karibu Tukuagizie gari kutoka Japan;Dubai;UK na Singapore.

    Ahsante ,nakaribu sana ,kampuni yetu inatambulika kisheria!pia kwa usalama wapesa yako tuko namikataba yakisheria na pia mteja anaweza kuja namwanasheria wake au mtu yeyote atakayemuamini yeye,watasaini mikataba na kuondoka nayo na sisi tutabaki na copy. Naomba nitext wasap ili tuongee zaidi...
  4. H

    Karibu Tukuagizie gari kutoka Japan;Dubai;UK na Singapore.

    MITSUBISHI PAJERO IO 2001/1 ZR Model Code: GH-H77W Registration Year: 2001/1 Production Year: 2000 Transmission: AT Color: Silver Drive: 4WD Door: 5 Steering: RHD Seats: 5 Engine Type: 4G94 Body Style: SUV Engine Size: 1,990cc Mileage: 74,000 Fuel: PETROL Accessories Air Bag,Anti-Lock Brake...
  5. H

    KIMOMWE MOTORS LTD waagizaji wamagari kutoka Japan,uingereza,Dubai na Singapore.

    Karibu KIMOMWE MOTORS LTD tukuagizie gari kutoka Japan na sehemu mbalimbali ,kwa bei nafuu kwa muda muafaka. Tupo magomeni mapipa mkabala na kituo cha mwendokasi ,jengo la Rubeya gorofa ya kwanza. Simu 0753438466 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Ahsante sana ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Ahsante sana tunashukuru! Karibu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Cif ya nissan xtrail 2005 zilizopo kwenye stock zinaanzia dollar 2400 wakati fob 920 So zitatofautiana kutoka gari moja kwenda jingine kulingana navigezo mbalimbali. Karibu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Ushuru wa gari nissan xtrail 2005 yenye cc 1990 ni tsh 6,252,541 Ila hiyo usd 1000,ni fob hakuna nissan ya mwaka huo uliotaja ikafika dar kwa dollar hiyo. Angalia cif yake ndio tupate kujua itakufikia mkononi kwangapi! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Tunaagiza kwa wateja mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali,akija anayeongea kiswahili tunamuhudumia ,akija mteja wa kiingereza tunamuhudumia! Karibu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    We're humbled for this good comment.....you're warmly welcome. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. H

    Karibu kwa waagiza magari kutoka nje ya nchi

    Karibu KIMOMWE MOTORS LTD tukuagizie gari kutoka nchi mbali mbali kama Japan,Dubai,Uingereza na Singapore. Gari huchukua siku 30 kufika dar bandarini. Gharama za gari ndogo ni tsh 400,000tu na gari kubwa tsh 500,000 tu. Ofisi zipo magomeni mapipa mkabala na kituo cha mwendokasi jengo la Rubeya...
  13. H

    Waagizaji wamagari kutoka Japan,uingereza,singapore,na Dubai lwamuda wasiku 30 tu gari linakuwa dar.

    Habari,naomba kujua hiyo ni gari gani?maana kwenye tra lazima uandike aina ya gari? Gari ya dollar 1500,ningumu kidg Labda hapa kuna toyota duet ya dollar 1,612,yenye 980cc,2003. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom