yani we jamaa unafurahisha sana,yan mpaka una bachela yako safiii ujui chuo gani kizuri kwa field yako?ivi uko serious kweli au unazingua tu?ok kwa kukusaidia tu atleast fanya MZUMBE UNIVERSITY ada zao ziko chini pia....ila kama unataka kuwa mkalina kuuzika kafanye MBA UDSM...ni mtazamo tu
kaka CPA we haikuhusu kwa coz iyo unayosoma,CPA ni kwa ajili ya wanaosoma Bcom/Accounting Advanced diploma in Accounts and other business studies kama BCOM-FINANCE na BBA ila hawa wanaanzia module C ila ukisoma bcom accountng,,BAF,au ADA unafanya module mbili tu ambayo ni E &F
Kote ni kuzuri ila TIA ni kuzuri zaidi,hata matokeo yaliyopita ya CSP wamefanya vizuri sana,nilisoma walaka wa bod ya wagavi nikaona iyo kitu miez kama mitatu iliyopita,kwaiyo mi nakushauri nenda TIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.