Recent content by Happiness2013

  1. H

    Magari ya utalii yanakodishwa

    Magari haya ni mapya kabisa. Yanakodishwa kwa ajiri kutembeza watalii sehemu mbalimbali kama vile kuwatoa Airport kuwapeleka hotelini, kuwatoa hotelini kuwapeleka kwenye vivutio mbalimbali vya utalii. Magari haya yapo Dar es Salaam. Mawasiliano : hkipanga2013@gmail.com
  2. H

    Nidhamu mbovu kwa wanafunzi na utoro wa walimu tishio la ubora wa elimu Bagamoyo.

    Mkurugenzi wa Halmashauri (W) ya Bagamoyo pamoja na wadau wengine wa Wilaya ya Bagamoyo wanakazi kubwa katika kuinusuru elimu ya wilaya ya Bagamoyo ili isishuke. Kuna sababu nyingi zinazopelekea elimu ya (W ) Bagamoyo kuporomoka. Sababu kubwa ni nidhamu mbovu ya wanafunzi wanaosoma katika shule...
  3. H

    Hodiiiiii humu ndani!!

    Habari zenu wana JF, Mimi ni mgeni ktk JF natumaini mtanipa ushirikiano wa kutosha. Asanteni.
Back
Top Bottom