Mm nliona kwa kakangu anafatilia sn na anapata habari nyingi sn pindi nkiwa primary nikavutiwa nayo, but,nkawa najua lazma nisome nifike chuo ndo namm niweze kupata nafac kujiunga jamiiforum, kwakua kwa wakat huo kakaangu alikua udsm 1st yr
Nlivyofika form 3 nkaanza kusomaga tu hoja za jf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.