Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za...
Jamii Media imeendesha semina ya Uendeshaji na Usimamizi wa Mijadala Huru (Meza ya Duara) katika Manispaa ya Bukoba leo tarehe 25/7/2017 ikiwa ni sehemu ya mradi wa Tushirikishane. Washiriki wa semina ni wajumbe wa vijiwe mbali mbali katika manispaa ya Bukoba na muwasilishaji alikua ni ndugu...
Kikao cha kuhitimisha mradi wa TUSHIRIKISHANE jimbo la Bukoba Manispaa kilichofanyika tarehe 21/7/2017 kikiwakutanisha Jamii Media, Ofisi ya Mbunge, Halmashauri na wananchi kujadili kwa pamoja hatua zilizofikiwa katika vipaumbele vinne vya TUSHIRIKISHANE ambavyo ni ahadi nne za mbunge...
MRADI WA DARAJA LA ENEO LA KYABITEMBE
Nimelazimika kuandika kidogo kuhusu mradi wa daraja la Kyabitembe.
Kyabitembe ni eneo lililo katika mtaa wa Bunkango kata ya Nshambya Manispaa ya Bukoba.
Mimi ndiye diwani wa sasa wa kata hii baada ya uchaguzi wa 2015.
Mwaka 2014 halmashauri ya manispaa ya...
TAARIFA JUU YA TATIZO LA MAJI NDANI YA MANISPAA YA BUKOBA.
1. Ieleweke kuwa miaka yote BUWASA hakuwa na mtandao wa maji katika kata zote za manispaa ya bukoba, kata ambazo mpaka sasa ziko ktk mtandao wa maji ya BUWASA ni kata 10.5, kata 3.5 ambazo haziko ktk mtandao wa BUWASA ni *kahororo...
Tushirikishane ulikua ni mradi wa miezi 9 ambayo tayari imekwisha. Mwezi huu nitaleta taarifa ya jumla ya mradi. Aidha jukwaa hili ni la kujadili mipango yote ya maendeleo ya jimbo la Bukoba. Mimi nahusika na sehemu ya "Tushirikishane" tu, vingine naleta kama nyongenza.
Jukwaa hili linapaswa...
Asili ya Neno "BAHAYA" na "BUKOBA" na H. Cory
Wilaya ya Bukoba ya sasa ina machifu wanane na wanyeji wake huitwa Bahaya. Mwanzoni watu hao wote waliishi kati ya Ziwa Victoria na Mto Kagera, Karagwe na Kimwani hawakua wakiitwa jina moja; wala nchi yenyewe haikua ikiitwa kwa jina moja. Watu...
Hapo ni wapi ndugu instanbul?
Ni Ujirani Mwema tu ndo utakutana na parking ya hivyo katika Bukoba nzima. Na hili ni swala la kutunga visheria tu, halihitaji bajeti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.