Kinachoniudhi tigo ni kwamba wanapokea pesa zetu halafu wantoa sub standard mwanzo ilikuwa kwa kampuni moja Inaitwa Infinity sasa tatizo la Infinity ni kwamba wanaogopa kulipa watu mishahara kutokana na taaluma. Wanaenda kutafuta watu waliosomea computer corse na kuwapa kibarua matokeo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.