[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nimecheka kama mwehu......
Acha kabisa. Me kuna wakati mambo yalinikaba koo. Nadaiwa Kodi ya nyumba, rejesho bank na mke wa bro yuko hospital kajifungua kwa operation wanataka mkwanja, hapo bro Hana kazi kampuni yao ilifilisika na ndo alietusomesha so ilibidi Tu niwajibike. Unaweza tamani ukimbie asee.
Nilitumia akili...
Yaan pikipiki yako halafu uteseke namna hiyo kisa unaogopa uchawi smh!!! Sijui issue yako iliishaje ila ulijikosea sana kama huchukua hatua ya kumnyang'anya huyo chalii pikipiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.