Recent content by Hanjie

  1. H

    Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

    lkn bei haipo kama hvo ulivoweka ww, kwa bei yasasa nitafute tuongee
  2. H

    Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

    bei saiz haiwezi kupanda coz usafiri ni changamoto kwa issue hii ya corona
  3. H

    Kwa hapa Tanzania, Wachina hununua gramu1 ya Gallstone (Nyongo) Tsh. 8000 mpaka 10000

    Bado nahitaji hii kitu kama kuna mtu yupo nazo tafadhali nitafute kupitia hizo number hapo juu.
  4. H

    Naomba kujua bei ya kahawa na mikoa inakopatikana

    Kwaio mm ninachotafuta sio soko wapi nitauza au nani nitamuuzia ,nahitaji kujua wapi nitazipata na kwa bei gani
  5. H

    Naomba kujua bei ya kahawa na mikoa inakopatikana

    Nilishafanyia utafiti hilo na kuna kampuni imetaka nifatilie kahawa ya Africa zaid Tanzania na Kenya coz wameniambia kahawa hizi zina ubora wake
  6. H

    Naomba kujua bei ya kahawa na mikoa inakopatikana

    Najaribu kufatilia upatikanaji wake ili kama zinapatikana na bei ipo nzuri nakusudia kusafirisha kupeleka nje
  7. H

    Naomba kujua bei ya kahawa na mikoa inakopatikana

    Kununua na kuuza coffee beans
  8. H

    Naomba kujua bei ya kahawa na mikoa inakopatikana

    Habari wana Jamii forum, Naomba kuuliza kwa anaefahamu, naomba kujua bei ya kahawa na ni mikoa gani inapatikana kwa wingi hapa Tanzania. Ahsanteni.
  9. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    kwa sasa bado sijayahitaji lkn ikitokea nimeyahitaji nitakutafuta, Asante
  10. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    Nimeskia hilo najaribu kufatilia kutafuta mtu wa kuweza kusupply kutoka huko
  11. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    Asante nitapitia huko kuangalia na mm nipo Zanzibar kwaio kama upo na contact za Edel natural sio mbaya ukanitumia pm. Asante
  12. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    Asante kwa ushauri but nilikua nahitaji Amount kubwa ndo maana nahitaji kupata kwa watu amabao ni kama kiwanda au kama Organization hivi ambazo zinajishughulisha na ukamuaji wa hayo mafuta.Asante
  13. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    Sawa, sms yako haijafika but naangalia
  14. H

    Natafuta mafuta yaliyotengenezwa na majani au matunda

    Ipo miti mingi tu mkuu inazalisha mafuta hata hapa TZ Mchaichai(lemongrass) Mbuyu(Baobab) Parachichi(Avocado) karanga pori(Macadamia)nk
Back
Top Bottom