Najaribu kufatilia upatikanaji wake ili kama zinapatikana na bei ipo nzuri nakusudia kusafirisha kupeleka njeKuna Mbeya , Bukoba na Kilimanjaro.
Bei siijui.
Unataka uwe na brand yako? au ununue na kuuza green beans?.
Au uziroast ziwe roasted Coffee ( hapa utahitaji mashine).
Kununua ua ya kukofisha kwa ajili ya roasting.
Unauzia wap?.
Weng wanaotumia ni wazungu hasa wanaoenda mahotel makubwa.
Ambao pia wana masoko ya kawaha kutoka nje. Umejiandaaje kupenja kimasoko.
Ni biashara yenye changamoto, kama biashara nyingne. Ila hii inahitaj hela zaid kwasababu ya utunzaji wake
Najaribu kufatilia upatikanaji wake ili kama zinapatikana na bei ipo nzuri nakusudia kusafirisha kupeleka nje