Mkuu hii, inafanana na hadithi a Beans Mrema, ambaye uchaguzi wa mwaka 1995, Gari alilokua anafanyia kampeni kuzimwa na kusukumwa na wananchi. Wananchi walibeba Imani kubwa mioyoni mwao lakini Mrema mwishoni aliwaumiza na kupoteza imani kwa wananchi.
Unakisema kuhusu Mh. Mbowe inawezekana ikawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.