Unadhani haya maneno yako ya upuuzi yatatufanya tuache kumchagua Gwajima, yaani unatushawishi sisi wadau kuwa tumchague Halima ambaye hajafanya maendeleo yoyote.
Mwanzoni nilikuwa naipenda chadema sana lakini jambo moja nimegundua huwezi kupenda kitu kwa muda mrefu kama akikupi faida yoyote, miaka kumi ya changamoto imetosha.
Kufanya kosa ni sawa lakini mbaya zaidi ni kitendo cha kurudi kosa, wanakawe kwa muda mrefu tumeteseka changamoto zetu zote hazijafanyiwa kazi. Mwanzoni nilikuwa napenda chadema kwa sababu niliamini wataleta mabadiliko na maendeleo lakini imekuwa tofauti sana..kwa sasa sitarudi makosa ya mwanzo
Lakini bora alijua mapema hivi assume sahvi unapita kule mbweni halafu unamwaga sera zako na kujifanya mzalendo nani atakuelewa kweli.. hata maji ya bomba tu ameshindwa kutuletea aseeh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.